Baadhi ya
viongozi kutoka China na Tanzania
wakifuatilia mkutano baina ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa China na Tanzania na
waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam. Miongoni mwao ni Balozi wa China
nchini Dkt. Lu Youqing( wapili kulia), Katibu MKuu Wizara ya Viwanda Biashara
na Uwekezaji, Dkt. Adelhelm
Meru.
|
Post a Comment