Rais JOHN MAGUFULI afungua Viwanda viwili Mkoani Shinyanga
![]() |
| Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli akimsikiliza mmiliki wa wa kiwanda hicho cha Fresho, Fred Shoo kuhusu malighafi ya kutengenezea mifuko ya Sandarusi. |
![]() |
| wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli akikata utepe kuashiria kufungua rasmi Kiwanda cha kutengeneza vinywaji cha Jambo food product mara bada ya kukizindua mkoani Shinyanga. |
![]() |
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe magufuli akiwagawia vinywaji viongozi mbalimbali wa dini mara baada
ya kuzindua kiwanda hicho mkoani Shinyanga.
|






Post a Comment