Header Ads

Mkuu wa Mkoa wa Iringa AMINA MASENZA awaongoza Wananchi Kushiriki Mazoezi ya Viungo

Mkuu  wa mkoa  wa  Iringa  Amina  Masenza  katikati   wa  pili kulia  akiwa na mbunge  wa   viti  maalum mkoa  wa Iringa  Ritta  Kabati (CCM)  wakiongoza mazoezi  kwa wanawake  watumishi na  wasio  watumishi  pamoja na  baadhi ya  wanaume  leo  katika  uwanja  wa Samora  mazoezi  ambayo  yataendelea  kila jumamosi. 

DC Kasesela  akiwa katika  picha ya  pamoja na  watumishi wa Tanesco  Iringa  walioshiriki mazoezi. 
Mazoezi  kwa afya  yako....
Mmoja  ya  wanajeshi  Bw  Kimbavala  aliyeshiriki  kutoa mazoezio  leo.
Rc  Iringa  akihamasisha  wanawake na  wananchi  Iringa  kujitokeza  katika mazoezi  jumamosi ijayo  tena.

Mazoezi  yakiendelea  kwa wote.

DC  Richard  Kasesela  akiwajibika katika mazoezi.

No comments

Powered by Blogger.