Header Ads

Taasisi ya Utafiti ya Repoa yazindua Ripoti mpya " UNU WIDER "

Mkurugenzi Mkuu wa taasisi inayojishughulisha na Utafiti wa Jinsi ya Kupunguza Umaskini ya REPOA, Dkt Donald Mmari akizungumza na Wanahabari Jijini Dar es Salaam, wakati wa Uzinduzi wa Ripoti ya UNU WIDER. 

Mtafiti kutoka taasisi ya Repoa Dk Blandina Kilama akizungumza wakati wa Uzinduzi wa Ripoti ya UNU WIDER uliofanyika Jijini Dar es Salaam, na kuhudhuriwa na Wataalamu mbalimbali wa Kitaifa na Kimataifa wa masuala ya Uchumi.




Wageni katika Meza kuu....

Wataalamu wa masuala ya Uchumi wakifatilia Uzinduzi wa Ripoti hiyo, iliyoandaliwa  na Taasisi ya Utafiti ya Repoa.


No comments

Powered by Blogger.