Header Ads

Taasisi ya Utafiti (KCRI) yawakumbuka Watoto yatima Wanaolelewa Kituo cha Upendo

Wafanyakazi wa Taasisi ya Utafiti ya Magonjwa ya Binadamu Kilimanjaro (KCRI) wakiwa katika picha ya pamoja na zawadi walizopeleka katika kituo cha kulelea Watoto Yatima cha Upendo cha mjini Moshi.

Zawadi ya Kei iliyotolewa kwa watoto wa kituo cha Upendo cha mjini Moshi.

Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu Kilimanjaro,(KCRI) Profesa Blandina Mbaga akisalimiana na Msimamizi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Upendo cha mjini Moshi Sister Yasinta walipofika kwa ajili ya kutoa zawadi kwa watoto wa kituo hicho.

Msimamizi wa Kituo cha kulelea watoto yatima cha Upendo cha mjini Moshi,Sister Yasinta Diwi akiwaeleza historia ya kituo hicho wafanyakazi wa taasisi ya utafiti ya magonjwa ya binadamu Kilimanjaro (KCRI).

Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti ya Magonjwa ya Binadamu Kilimanjaro (KCRI) Prof Blandina Mbaga akizungumza na Mkurugenzi wa fedha Hosptali ya Rufaa ya KCMC,Hilda Mungure (katikati) na Elizabeth Msoka.

Baadhi ya Wafanyakazi wa Taasisi ya Utafiti ya Magonjwa ya Binadamu Kilimanjaro (KCRI) wakiwa wamebea zawadi kwa ajili ya watoto wa kituo cha Upendo cha mjini Moshi.

Msimamizi wa Kituo cha Upendo cha mjini Moshi ,Sista Yasinta Diwi akiwaongoza watoto wanaolelewa katika kituo hicho kuwaimbia wageni waliofika katika kituo hicho kwa ajili ya kutoa zawadi. 

Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti ya Magonjwa ya Binadamu Kilimanjaro (KCRI) akitoa zawadi kwa watoto wa kituo hicho. 

1 comment:

Powered by Blogger.