Header Ads

Mwenyekiti wa CCM Dkt MAGUFULI aongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa

 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akifungua kikao Cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Desemba 13, 2016. 

 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akifungua kikao Cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Desemba 13, 2016. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM-Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein, Katibu Mkuu wa CCM.

 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akitoa hotuba ya utangulizi kumkaribisha Dk. Magufuli.

 Mwenyekiti wa CCM, Dk. John Magufuli akishauriana jambo na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana wakati wa kikao hicho.

 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi aliyemaliza mda wake, Nape Nnauye akizunguza wakati wa kikao hicho. 

Picha zote na Bashir Nkoromo. 

No comments

Powered by Blogger.