Header Ads

Kampuni ya Pennyroyal Gibraltar Yatiliana Saini na Kampuni ya MCC Overseas

 
 
Mkurugenzi wa Mradi wa Ujenzi Kijiji cha Utalii Matemwe Zanzibar Pennyroyal Gibraltar Limited Zanzibar Amber Resort Mr. Saleh Mohammed Said akizungumza kabla ya kuaza kwa hafla hiyo ya utilianaji wa Saini ya Ujenzi wa Mradi huo na Kampuni ya MCC Overseas Ltd ya China, hafla hiyo ya utianaji wa saini hyo umefanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Park Hyyat Shangani Zanzibar.

Mkurugenzi wa Mradi wa Ujenzi Kijiji cha Utalii Matemwe Zanzibar Pennyroyal Gibraltar Limited Zanzibar Amber Resort Mr. Saleh Mohammed Said akizungumza kabla ya kuaza kwa hafla hiyo ya utilianaji wa Saini ya Ujenzi wa Mradi huo na Kampuni ya MCC Overseas Ltd ya China, hafla hiyo ya utianaji wa saini hyo umefanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Park Hyyat Shangani Zanzibar.kulia Mkurugenzi Mkuu wa Pennyroyal Gibraltar Limited Mr Brian Thomson akiwa na Mwenyekiti wa Kampuni ya MCC Overseas Limited ya China Mr Leo Zou.wakiwa katika ukumbi wa hafla hiyo. 

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Pennyroyal Gibraltar Limited "Zanzibar Amber Resort" Mr Brian Thomson na kulia Mwenyekiti wa Kampuni ya MCC Overseas Limited ya China Mr. Leo Zou, wakitiliana saini ya ujenzi wa Mradi huo wa Kijiji cha Utalii Matemwe Zanzibar Mkoa wa Kaskazini Unguja. akishuhudia utilianaji wa saini hiyo katikati Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar Mr. Khamis Mussa.    

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Pennyroyal Gibraltar Limited "Zanzibar Amber Resort" Mr Brian Thomson na kulia Mwenyekiti wa Kampuni ya MCC Overseas Limited ya China Mr. Leo Zou, wakibalishano mikatabaa hiyo baada ya kusaini.ujenzi wa Mradi huo wa Kijiji cha Utalii Matemwe Zanzibar Mkoa wa Kaskazini Unguja. akishuhudia utilianaji wa saini hiyo katikati Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar Mr. Khamis Mussa. 

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Pennyroyal Gibraltar Limited "Zanzibar Amber Resort" Mr Brian Thomson, akizungumza wakati wa hafla hiyo ya utilianaji wa saini iliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Park Hyyat Shangani Zanzibar na kuhudhuriwa na wageni mbalimbali katika hafla hiyo.

Mwenyekiti wa Kampuni ya MCC Overseas Limited ya China Mr. Leo Zou, akizunguma baada ya hafla ya utilianaji wa saini ujenzi wa mradi wa Kijiji cha Utalii cha Matemwe Zanzibar.  

Wageni waalikwa wakifuatila hafla hiyo ya utilianaji wa saini baina ya Pennyroyal Gibraltar Limited na MCC Overseas Limited ya China itakayojenga majengo ya Mradi huo huko Matemwe Zanzibar. Mkoa wa Kaskazini Unguja.

No comments

Powered by Blogger.