Header Ads

Serikali Wilayani ROMBO yakamata na Kuteketeza Lita 4000 ya Pombe Chafu


Mkuu wa wilaya ya Rombo Agnes Hokororo akiangalia namna pombe ya kienyeji inavyoandaliwa baada ya kukamata kiwanda bubu cha kutengenezea pombe bila ya kufuata taratibu.


Mmiliki wa kiwanda cha kutengeneza pombe ya kienyeji  aliyefahamik kwa jina moja la Carlos akitoa maelezo kwa Mkuu wa wilaya ya Rombo Agnes Hokororo namna wanavyoandaa pombe hiyo.


Carlos akifungua madumu makubwa yaliyohifadhi Pombe ya Kienyeji wakati wa utengenezaji wake katika kijiji cha Useri wilayani Rombo.


Sehemu ya Pombe ikiwa katika Mapipa baada ya kuvundikwa.


Kreti za Chupa za Banana ambazo zimekuwa zikitumika pia katika kuwekea pombe hiyo mara baada ya kutengenezwa.


Askari Mgambo akiweka ndizi zilizovundikwa katika ndoo ambazo pia hutumika katika utengenezaji wa pombe hiyo ya kienyeji.


Mkuu wa wilaya ya Rombo,Agnes Hokororo akimwaga pombe hiyo iliyokuwa katika Chupa.


Vizibo ambavyo vimekuwa vikitumika katika kufunika pombe hiyo mara baada ya kujazwa katika chupa.


Katibu tawala wa wilaya ya Rombo,Abubakar Asenga akipakia madumu makubwa yaliyokutwa yakitumika katika utengenezaji wa Pombe katika kijiji cha Useri wilaya Rombo.


No comments

Powered by Blogger.