Mawakili 258 wala Kiapo Mbele ya Jaji Mkuu wa TANZANIA Mohammed Othman Chande
Jaji Mkuu wa Tanzania Mohamed Othman Chande
akiongea mbele ya mawakili 258 hawapo pichani wakati wa sherehe ya 55 ya
uapisho huo iliyofanyika leo jijini Dar es salaam.
|
Baadhi ya Mawakili wakimsikiliza Jaji Mkuu wa
Tanzania Mohamed Othman Chande hayupo pichani baada ya kuapishwa wakati wa
sherehe ya 55 ya uhapisho huo iliyofanyika leo jijini Dar es salaam.
|
Baadhi ya Mawakili wakiwa wamesimama kusubiri kula
kiapo kutoka kwa Jaji Mkuu wa Tanzania Mohamed Othman Chande wakati wa sherehe
ya 55 ya uhapisho huo iliyofanyika leo jijini Dar es salaam.
|
Jaji Mkuu wa Tanzania Mohamed Othman Chande katikati akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Mawakili waliopishwa wakati wa
sherehe ya 55 ya uhapisho huo iliyofanyika leo jijini Dar es salaam.
|
Post a Comment