Header Ads

Kamati ya Pamoja ya SMT na SMZ yakutana Kujadili Kuhusu Masuala ya Muungano

 Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu akiongoza Kikao cha Kamati  ya Pamoja ya Serikali ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya  MapinduzI ya Zanzibar kuhusu masuala ya Muungano kilichofanyika kwenye ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi mjini Zanzibar, Januari 13, 2017.


Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya pamoja ya Serikali ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakimsikiliza Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu wakati alipoongoza kikao chao kwenye ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi mjini Zanzibar Januari 13, 2017.

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments

Powered by Blogger.