Dkt MAGUFULI aanza Ziara ya Mikoa ya Kusini azindua Kiwanda cha Vigae Kilichopo Mkuranga
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi wa Somanga mkoani Lindi wakati akiwa ziarani lkuelekea mikoa ya Kusini(Lindi na Mtwara). |
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na
Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Nape Nnauye mara baada ya kuhutubia
wananchi wa Nangulukulu mkoani Lindi.
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wananchi mara baada ya kuhutubia wananchi wa Nangulukulu mkoani Lindi. |
Post a Comment