Header Ads

Wakazi Jijini Dar es Salaam Wapatiwa Elimu ya Ujasiriamali

 Mkurugenzi wa Taasisi  ya Namaingo Business Agency Tanzania Limited, Ubwa Ibrahim akitoa elimu ya ujasiriamali kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam katika Makao Makuu ya Taasisi hiyo, Ukonga, Dar es Salaam jana.

Aliwapiga msasa kuhusu ufugaji wa kisasa wa kuku,sungura, samaki pamoja na kilimo biashara pia na jinsi ya kuwaunganisha na taasisi za kifedha na serikali ili kuwarahisishia kupata mikopo ya kuendeleza miradi. Pia aliwafundisha jinsi ya kupata masoko ya bidhaa zao.

 Bi Ubwa Ibrahim akihojiwa na vyombo vya habari baada ya semina hiyo.


No comments

Powered by Blogger.