Header Ads

Taswira ya Bungeni Mjini Dodoma leo

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye (kushoto), Mhe.Margaret Sitta Mbunge wa Urambo (katikati) na Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura wakielekea ndani ya Ukumbi wa Bunge, Dodoma leo.

 Baadhi ya Waheshimiwa wabunge wakiingia ndani ya Ukumbi wa Bunge leo mjini Dodoma.
 Baadhi ya Waheshimiwa wabunge wakiingia ndani ya Ukumbi wa Bunge leo mjini Dodoma.
 Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Tulia Ackson akiendesha kikao cha 35 cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo mjini Dodoma.
 Mchezaji wa kulipwa wa mpira wa kikapu nchini Marekani kutoka Tanzania Hasheem Thabeet (kulia) akiwa na  baadhi ya wageni mbalimbali waliolitembelea Bunge leo.
 Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Harrison Mwakyembe akichangia jambo  wakati wa kikao cha 35 cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo.

No comments

Powered by Blogger.