Header Ads

Taswira ya Leo Kutoka Kwenye Maonesho ya SABA SABA


Mtendaji Mkuu wa Mahakama  Tanzania Bw. Hussein Kattanga akisikiliza maelezo kutoka kwa Mtendaji Mkuu Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam Bi. Mary Shirima wakati wa maonyesho ya kimataifa ya Biashara yanayoendelea jijin Dar es Salaam.

Wana usalama wakiimarisha ulinzi katika viwanja vya saba saba ili wafanyabiashara na wananchi waweze kufanya shughuli zao kwa amani.
Mwanafunzi kutoka chuo cha VETA wa pili kutoka kulia akiwaelekeza baadhi ya wananchi ubunifu wa kutengeneza boti itakayokuwa inatembea barabarani kwa kuendeshwa na dereva mpaka baharini.
Picha na Benjamin Sawe 

No comments

Powered by Blogger.