Header Ads

Waziri Mkuu KASSIM MAJALIWA afanya Mazungumzo na Viongozi wa POLYTRA INTERNATIONAL na IMPALA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Bw. Jaskaran Chugh  ambaye ni  Mwakilishi Mkazi wa Kampuni  ya Polytra International yenye Makao yake nchini Ubelgiji  (katikati) na  Bw. Mark Lemki  wa Kampuni ya Impala ya Switzerland, Ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma Juni 20, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments

Powered by Blogger.