Header Ads

BMT kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Kwa Kushiriki katika Michezo

Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT) Bi. Zaynab Matitu akiongea na waandishi wa Habari hawapo pichani kuhusu kushiriki katika michezo itayofanyika Machi 5 mwaka huu ili kuadhimisha siku  ya  Wanawake Duniani  katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam kushoto ni Mwenyekiti wa wa Baraza hilo Bw. Diomiz Malinzi.
Mwenyekiti wa wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT) Bw. Diomiz Malinzi akiongea na waandishi wa Habari hawapo pichani kuhusu kushiriki katika michezo itayofanyika Machi 5 mwaka huu ili kuadhimisha siku  ya  Wanawake Duniani  katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam kulia ni Makamu Mwenyekiti Bi. Zaynab Matitu.

Picha zote na Ally Daud – Maelezo 

No comments

Powered by Blogger.