Header Ads

SHEREHE ZA KUAPISHWA KWA DKT ALI MOHAMMED SHEIN

OT1
Viongozi wa Dini na Vikosi vya Ulinzi wakifuatana kuelekea katika jukwa maalum la kuapishwa Rais Mteule wa Zanzibar katika uwanja wa Amaan Mjini Unguja leo.
OT2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipokea salamu ya heshma kwa Vikozi vya Ulinzi na Usalama baada ya kuapishwa Rasmi katika wamu ya pili ya Uongozi wa awamu ya 7 leo katika Uwanja wa Amaan Mjini Unguja.
OT3
Kikosi cha Bendera na Vikosi mbali mbali vya Ulinzi wakitoa heshama kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  baada ya kuapishwa Rasmi katika awamu ya pili ya Uongozi wa awamu ya 7 leo katika Uwanja wa Amaan Mjini Unguja.
OT4
Kikosi cha KMKM kikitoa salamu ya heshma kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  baada ya kuapishwa Rasmi katika awamu ya pili ya Uongozi wa awamu ya 7 leo katika Uwanja wa Amaan Mjini Unguja
[Picha na Ikulu]

No comments

Powered by Blogger.