Header Ads

Waziri Mkuu KASSIM MAJALIWA azungumza na Mawakala wa Forodha Jijini Dar es Salaam

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akipekuwa baadhi ya nyaraka zinazoonyehsa jinsi wizi wa fedha za serikali  uliofanywa kwenye  bandari ya Dar es salaam  ukihusisha mabenki wakati akizungumza na  Mawakala wa Forodha na Bandari kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam Machi 21, 2016.

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya Mawakala wa Forodha na Bandari wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  wakati alipozungumza nao kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salam Machi 21, 2016. 

No comments

Powered by Blogger.