Header Ads

Waziri Mkuu KASSIM MAJALIWA amtembelea Mzee John Malecela Mjini Dodoma

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu, John Malecela wakati alipomtembelea nyumbani kwake, Kilimani mjini Dodoma Februari 1, 2017.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu, John Malecela wakati alipomtembelea nyumbani kwake, Kilimani mjini Dodoma Februari 1, 2017.

(Picha na Ofisi ya Waziri  Mkuu)


No comments

Powered by Blogger.