Header Ads

Mkutano wa 12 wa Dunia wa Kifua Kikuu wafunguliwa leo Jijini Dar es Salaam


Waziri wa Afya ,Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Mhe.Ummuy Mwalimu akihutubia wadau (hawapo pichani) wa kifua kikuu toka nchi mbalimbali walioshiriki Mkutano wa Dunia wa 12 wa masuala ya Kudhibiti Kifua kikuu unaofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Hyatt Regency jijini hapa.

Waziri ummy Mwalimu akionesha kitabu cha mapambano dhidi ya kifua kikuu chenye mikakati mbalimbali ya kudhibiti ugonjwa huo.

Waziri Ummy Mwalimu akifuatalia Mada iliyokuwa ikiwasilishwa,kulia ni Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Mohammad kambi.

Washiriki mbalimbali wa mkutano huo wakifuatilia mada zinazowasilishwa kwenye mkutano huo.

Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Mohammad Bakari Kambi akiwasilisha mada mada kwenye mkutano huo ambao unafanyika kwa siku tatu na umewashirikisha Serikali,Sekta binafsi,Mashirika Binafsi na wadau mbalimbali wa afya.


Picha ya pamoja ya washiriki wa Mkutano wa Dunia wa 12 wa masuala ya Kudhibiti kifua Kikuu Duniani.Nchi zilizohudhuria mkutano huo Afrika (Tanzania, Ethiopia,Kenya, Malawi, Namibia, Uganda ,Zambia na Afrika kusini) nchi  za Asia ni (India,Pakistan,Bangladesh). 

Picha zote na Rayson Mwaisemba-Wizara ya Afya)


No comments

Powered by Blogger.