Header Ads

Waziri JANUARY MAKAMBA ashiriki Kilele cha Siku ya Mazingira


Waziri wa Mazingira January Makamba akifurahia jambo na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Ramadhani Madabida mara baada ya kuwasili viwanja vya Mwembe yanga.
Wananchi Wakipita Mbele ya Mgeni Rasmi kuonesha zana za Kufanyia Usafi....
Waziri wa Mazingira January Makamba akihutubia Wananchi waliojitokeza katika kilele cha Siku ya Mazingira katika Viwanja vya Mwembe yanga Jijini Dar es Salamm.
Waziri wa Mazingira January Makamba akionesha Ufundi wa Kuzima Moto, ikiwa ni shamrashamra za Kilele cha Siku ya Mazingira katika Viwanja vya Mwembe yanga Jijini Dar es Salaam.

No comments

Powered by Blogger.