Header Ads

Milioni 263 Zachangwa Kusaidia Ununuzi wa Madawati

Bendi ya Polisi ikiongoza matembezi  ya kuchangia madawati ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Benki kuu ya Tanzania, Matembezi hayo yalianzia Benki Kuu hadi viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam Juni 11, 2016,Zaidi ya shilingi 263 milioni zilichangwa.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongoza matembezi ya kuchangia madawati ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Benki kuu ya Tanzania, Matembezi hayo yalianzia Benki Kuu ha viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam Juni 11, 2016.Kushoto kwake ni Gavana wa Benki Kuu, Benno Ndulu na kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda, Zaidi ya shilingi milioni 262 zilichangwa.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza  baada ya kuongoza  matembezi ya kuchangia madawati ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Benki kuu ya Tanzania, Matembezi hayo yalianzia Benki Kuu hadi viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam Juni 11, 2016.,Zaidi ya shilingi milioni 263 zilichangwa.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na wasanii wa Benki Kuu baada ya kuongoza matembezi  kuchangia madawati ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Benki kuu ya Tanzania, Matembezi hayo yalianzia Benki Kuu hadi viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam Juni 11, 2016, Zaidi ya shilingi milioni263 zilichangwa.

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments

Powered by Blogger.