TASWIRA ; Tafrija ya Mchapalo Baada ya Tigo na Samaki Samaki kuingia Ubia yafana
![]() |
| Vinywaji murua kabisa. |
![]() |
| Warembo wa Tigo wakiwa tayari kuhudumia wateja na wageni waalikwa wote. |
![]() |
| Ulinzi ukiimarihwa kwa wageni waalikwa na wateja wote. |
![]() |
| Mtaalamu wa mitandao ya kijamii kutoka Tigo Samira Baamar (kulia ) akiwa katika pozi na wafanyakazi wenzake Ummy Mtiro na Natasha. |
![]() |
| Mhudumu wa Samaki akitabasamu na kuwakaribisha wageni waalikwa. |
![]() |
| Blogger na mdau wa mitandao ya kijamii John Kiandika akiwa katika pozi na mkewe wakati wa hafla usiku wa jana. |
![]() |
| Mmoja ya wageni waalikwa akipata maelezo kuhusu huduma ya Tigo 4g kutoka kwa muhudumu. |
![]() |
| Mkurugenzi wa migahawa ya Samaki Samaki, Bw. Carlos Bastos. |
![]() |
| Meneja wa Huduma za Masoko wa Tigo Oliver Prentout akifurahi jambo na wafanyazi wa tigo wakati wa hafla hii. |
![]() |
| Watangazaji maaruf wa kituo cha Clouds tv Hudson Kamoga na Sam sasali wakiwa pamoja kupata maelekezo kuhusa huduma ya intanet ya kasi ya Tigo 4G kwenye hafla hiyo. |











Post a Comment