Waziri Mkuu KASSIM MAJALIWA awasilisha Mapitio na Mwelekeo wa Kazi za Serikali Bungeni Mjini Dodoma
| Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasilisha bungeni Mapitio na Mwelekeo wa Kazi za Serikali na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Mwaka 2016/2017. |
| Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenhye Ulemavu, Jenista Mhagama (kushoto) na Naibu wake, Dktt. Abdallah Posi wakiteta bungeni mjini Dodoma Aprili 22, 2016. |
| Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Waziri wa Kilimo na Maendeleo ya Mifugo, Mwigulu Nchemba, Bungeni Mjini Dodoma Aprili 20, 2016. |
| Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Fedha ambao Aprili 22, 2016 walikwenda Bungeni mjini Dodoma kwa ziara ya mafunzo. |
Post a Comment