Header Ads

Waziri wa Habari NAPE NNAUYE atembelea Mitambo ya Shirika la Utangazaji Tanzania ( TBC ) Jijini ARUSHA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akipata maelezo ya kutoka kwa Mkurgenzi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Bw. Clement Mshana (kushoto)mara baada ya kutembelea maeneo ya TBC yaliyopo Themi na Themi Hill mkoani Arusha na kujionea mitambo ya TBC na ile iliyokuwa ya Radio Tanzania.

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akiangalia mitambo iliyokuwa ya Radio Tanzania kwenye nyumba iliyokuwa ikitumika kurusha matangazo, Themi mkoani Arusha.

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akionyeshwa moja ya eneo la TBC mkoani Arusha na Mkurgenzi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Bw. Clement Mshana.

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akizungunmza na Mkurgenzi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Bw. Clement Mshana mara baada ya kutembelea eneo la TBC lililopo Themi mkoani Arusha,katikati ni Mkuu wa Kanda wa Shirika la Utangazaji TBC Ndugu Christopher Mkama.

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akiangalia baadhi ya mitambo ya zamani ya kurushia matangazo iliyopo Themi Hill, Arusha.

No comments

Powered by Blogger.