MWILI WA MMOJA WA ASKARI WALIOUAWA NA MAJAMBAZI YALIOVAMIA KITUO CHA POLISI STAKISHARI WAAGWA
![]() |
Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi Ilala(SACP), Lucas Makondya akizungumza na waombolezaji kabla ya mwili huo kuagwa . |
![]() |
Sehemu ya waombolezaji wakimsikiliza Kamanda Makondya. |
![]() |
Baadhi ya askari waliohudhuria msiba huo wa kuuaga mwili wa mwenzao. |
![]() |
Jamaa wa karibu wa marehemu Koplo Kakoko wakijadili jambo, kushoto ni Filbert Katubazi na kulia ni Alvin Dogras .(Picha kwa hisani ya www.inocomm.blogspot.com) |
Post a Comment