Header Ads

JK AFUNGUA MKUTANO MKUU MAALUM MJINI DODOMA

 Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano mkuu maalum wa CCM ambao utapendekeza jina la mgombea Urais kupitia CCM.
 
 Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wajumbe wa mkutano mkuu maalum wa CCM kwenye ukumbi mpya wa CCM maarufu kama Dodoma Convention Center.
 
 Sehemu ya wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM wakisikiliza hotuba ya Mwenyekiti.
 
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akitoa hotuba kabla ya kumkaribisha Mwenyekiti wa CCM Taifa kuhutubia wajumbe.
 
Balozi wa China nchini Mhe.Lu Youqing (katikati) akiwa pamoja na maofisa wake kwenye mkutano mkuu maalum wa CCM mjini Dodoma.

No comments

Powered by Blogger.