SERIKALI YAIMARISHA ULINZI WAKATI VIKAO VYA CCM, VIKIENDELEA MKOANI DODOMA
![]() |
Askari wa kikosi cha kutuliza ghasia FFU, wakiwa wameimarisha ulinzi kwenye barabara kuu inayopita jirani na makao makuu ya Chama cha Mapinduzi CCM, mkoani Dodoma. |
![]() |
Askari wakiwa wameimarisha ulinzi Jirani na makao makuu ya CCM mjini Dodoma, ambako vikao vya juu vya chama hicho vikiendelea. |
Post a Comment