Mwakilishi Mkazi wa shirika la linaloshughulika na masuala ya Afya ya Uzazi na Uzazi wa mpango kwa Wanawake na Wasichana la EngenderHealth Richard Killian (katikati) akizungumza na Waziri wa Afya , Maendeleo ya Jamii, jinsia ,Wazee na Watoto mapema leo kwenye ofisi ya waziri huyo,Kushoto ni Rais na Mkurugenzi mtendaji wa Shirika hilo bi. Ulla Muller na kulia ni Waziri Ummy Mwalimu. |
Post a Comment