Header Ads

Rais Dkt MAGUFULI apokea Mchango wa Dola 250,000 Kutoka Jumuiya ya Madhehebu ya Bohora

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimshukuru kiongozi Mkuu wa Madhehebu ya Bohora Duniani Mtukufu Dkt. Syedna Mufaddal Saifuddin mara baada ya kupokea mfano wa hundi yenye thamani ya kiasi cha Dola za Kimarekani 50,000/- Ikulu jijini Dar es Salaam. Katikati ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.
Kiongozi Mkuu wa Madhehebu ya Bohora Duniani Mtukufu Dkt. Syedna Mufaddal Saifuddin akiwaombea dua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Kiongozi Mkuu wa Madhehebu ya Bohora Duniani Mtukufu Dkt. Syedna Mufaddal Saifuddin Ikulu jijini Dar es Salaam.


No comments

Powered by Blogger.