Header Ads

Kongamano la Haki ya Afya ya Uzazi lafanyika Jijini Dar es Salaam

Mkurugenzi wa Huduma za Sheria kwa Umma Bw. Justus Mulokozi akifungua kongamano la Kitaifa la Haki ya Afya ya Uzazi katika ukumbi wa mikutano wa Hoteli ya New Africa jijini Dar es salaam ambapo wadau mbalimbali wamehudhuria katika kongamano hilo wakiwemo Wanasheria , Wanasiasa, Wanafunzi Waandishi wa habari pamoja na waalikwa mbalimbali.
002
Mkurugenzi wa Chama cha Wanasheria Wanawake TAWLA Bi. Tike Mwambipile akizungumza katika kongamano hilo wakati alipokuwa akifafanua mambo mbalimbali kuhusu Haki ya Afya ya Uzazi.

02
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mama Anne Makinda akiwa katika kongamano hilo pamoja na washiriki wengine kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Huduma za Sheria kwa Umma Bw. Justus Mulokozi, Mwenyekiti wa TAWLA Bi. Attanasia Soka na Jaji Winnie Korosso.

2
Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake (TAWLA) Bi. Attanasia Soka na Jaji Winnie Korosso akimkaribisha mgeni rasmi ili kufungua kongamano hilo.

3
Baadhi ya wanasheria wanawake na wageni waalikwa kutoka taasisi mbalimbali wakiwa katika kongamano hilo.

4
Kutoka kulia Mgeni rasmi katika Kongamano hilo Mkurugenzi wa Huduma za Sheria kwa Umma Bw. Justus Mulokozi, akiwa na Mkurugenzi wa TAWLA Bi. Tike Mwambipile na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Bi. Pindi Chana.

5
Watoa mada wa kongamano hilo wakifuatilia kongamano hilo.

No comments

Powered by Blogger.