Header Ads

Dkt MAGUFULI afungua Kiwanda cha Kusindika Matunda cha Bakhresa Kilichopo Mkuranga

 Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe kuzindua rasmi  kiwanda cha kusindika matunda cha Bakhressa Food Products kijijini Mwandege wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani leo Oktoba 6, 2016.

 Mbunge wa Mkuranga Mhe Abdallah Ulega akifurahia baada ya Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kuzindua rasmi  kiwanda cha kusindika matunda cha Bakhressa Food Products kijijini Mwandege wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani leo Oktoba 6, 2016.

 Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitembezwa baada ya kukizindua rasmi  kiwanda cha kusindika matunda cha Bakhressa Food Products kijijini Mwandege wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani leo Oktoba 6, 2016.

  Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitembezwa baada ya kukizindua rasmi  kiwanda cha kusindika matunda cha Bakhressa Food Products kijijini Mwandege wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani leo Oktoba 6, 2016.

  Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitembezwa baada ya kukizindua rasmi  kiwanda cha kusindika matunda cha Bakhressa Food Products kijijini Mwandege wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani leo Oktoba 6, 2016.

 Mbunge wa Mkuranga Mhe abdallah Ulega akisema machache.

 Wafanyakazi na wageni waalikwa.

  Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  akiendelea kuhutubia wakati wa sherehe hizo.

  Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  akiendelea kuhutubia wakati wa sherehe hizo.

  Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  katika picha ya kumbukumbu na meza kuu.

   Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  akiagana Bw. Dunstan Tido Mhando. 

PICHA NA IKULU

No comments

Powered by Blogger.