Header Ads

Taswira kutoka Bungeni Mjini DODOMA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Nchemba , bungeni mjini Dodoma Juni 6, 2016.
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage (kushoto) akiteta na Waziri wa Elimu, Sayansi , Tekinolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako, bungeni mjini Dodoma.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye  akisoma Azimio la Bunge kuridhia Mkataba  wa Kimat;aifa wa Udhibiti wa Matumizi  ya Dawa  na Mbinu za kuongeza Nguvu Michezoni, bungeni mjini Dodoma Juni 6, 2016. 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


No comments

Powered by Blogger.