Header Ads

Rais Dkt JOHN MAGUFULI ahutubia Wananchi wa Geita Mjini


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia mamia ya wakazi wa Geita mjini mara baada ya kuwasili kutoka Kahama.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono mamia wa wakazi wa Geita mara baada ya kuwahutubia jana.
Wananchi wa Geita wakionesha furaha yao wakati Rais Dkt. Magufuli alipokuwa akihutubia mkutano viwanjani hapo. 

PICHA NA IKULU

No comments

Powered by Blogger.