Header Ads

Waziri Mkuu KASSIM MAJALIWA ateta na Watumishi wa Manispaa ya TEMEKE

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Temeke kwenye ukumbi wa Halmashauri hiyo jijiniDar es salam Julai 28, 2016.
Baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Temeke wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao kwenye ukumbi wa Halmashauri hiyo jijini Dar es salaam Julai 28, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na viongozi wa mkoa wa Dar es salaam baada ya kuzungumza na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Temeke kwenye ukumbi wa Halmashauri hiyo jijini Dar es slaam Julai 28, 2016.

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments

Powered by Blogger.