Header Ads

Rais Dkt MAGUFULI azungumza na Maofisa wa Jeshi la Polisi Waliopandishwa Vyeo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Maafisa wa Jeshi la polisi aliowapandisha vyeo vya Naibu Kamishna wa Polisi DCP na Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Ikulu jijini Dar es Salaam.
Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Kedmon Andrew Mnubi akila kiapo  cha Ahadi ya uadilifu pamoja na Maafisa wengine wa Jeshi la Polisi Ikulu jijini Dar es Salaam.
Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Mwamini Marco Rwantale  akila  kiapo cha Ahadi ya uadilifu pamoja na Maafisa wengine wa Jeshi la Polisi Ikulu jijini Dar es Salaam.
Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Ahmada Abdalla Khamis akisaini hati ya kiapo cha Ahadi ya Uadilifu Ikulu jijini Dar es Salaam.
Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Ahmada Abdalla Khamis akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya kula kiapo cha ahadi ya uadilifu Ikulu jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mwigulu Nchemba akizungumza jambo na Naibu wake Hamadi Masauni mara baada ya Maafisa wa Jeshi la Polisi waliopandishwa vyeo kula Kiapo ahadi ya uadilifu Ikulu jijini Dar es Salaam.

PICHA NA IKULU

No comments

Powered by Blogger.