Header Ads

Waziri Mkuu KASSIM MAJALIWA afungua Mkutano Maalum kwa Wana RUKWA na KATAVI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda wakati alipowasili kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa Februari 20, 2016 kufungua mkutano Malum wa Wanarukwa na Katavi. 

Waziri Mkuu, Kasim Majlaliwa na Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda wakifurahia ngoma baada ya kuwasili kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa Februari 20, 2016 kufungua mkutano Malum wa Wanarukwa na Katavi.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda wakitazama badhi ya magari ambayo baba wa taifa , Mwalimu Julius Nyerere aliyatumia kwenye miaka ya 1950 na 1960 baada ya kuwasili kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa Februari 20, 2016 kufungua mkutano Malum wa Wanarukwa na Katavi.
Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda akizungumza katika mkutano Maalum wa Wanarukwa na Katavi uliofunguliwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es salaam Februari 20, 2016. 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa  akifungua   mkutano Maalum wa Wanarukwa na Katavi  kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es salaam Februari 20, 2016.
 Baadhi ya wananchi wa Mikoa ya Katavi na Rukwa wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majliwa wakati alipofungua  mkutano maalum wa  Wanarukwa na Katavi  kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es salaam Februari 20, 2016.
Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda akionyesha Tuzo Maalum aliyotuzwa na  Wanarukwa na Katavi katika mkutano wao maalum uliofunguliwa na Waziri Mkuu,  Kassim Majalwa kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es salaam Februari 20, 2016. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments

Powered by Blogger.