Header Ads

MIKAELA PROFESSIONAL TAILORS wapania Kuwainua Wabunifu wa Mavazi Jijini MWANZA

Idda Adam ambae ni Mkurugenzi wa Mikalea Professional Tailors ambao ni Mabingwa wa Ushonaji wa Mavazi ya aina mbalimbali Jijini Mwanza, akionyesha mavazi mbalimbali yanayopatikana ofisini kwake, Mtaa wa Ghana GreenView, Nyamanoro Jijini Mwanza.

................

"Sisi tunahusika na suala la urembo pamoja na ushonaji wa mavazi ya kila aina ikiwemo mavazi ya Kitchen Party pamoja na Harusi (Wanaume kwa wWanawake). Tumelenga kukata kiu ya ushonaji wa mavazi kwa wakazi wa Jiji la Mwanza ambao awali walikuwa wakishona nguo zao nje ya Mwanza;

Pia tunawatumia wabunifu wa mavazi kutoka Jijini Mwanza na kutumia ujuzi wetu wa ushonaji na hivyo kuzalisha mavazi ambayo wateja wetu wamekuwa wakiyafurahia". Anasema Idda na kuwahimiza kutembelea ofisini kwake au kuwasiliana nae kwa nambari 0767 68 28 88.

Idda Adam anasema Mikalea Professional Tailors wabunifu na washonaji wa mavazi ya kila aina.

Mavazi mbalimbali kutoka Mikalea Professional Tailors ambao ni Mabingwa wa Ushonaji wa Mavazi ya aina mbalimbali Jijini Mwanza.

Mavazi mbalimbali kutoka Mikalea Professional Tailors ambao ni Mabingwa wa Ushonaji wa Mavazi ya aina mbalimbali Jijini Mwanza.

Mkurugenzi akiteta jambo na fundi wake.

Mafunzi Ushonaji wa Mikalea Professional Tailors ambao ni Mabingwa wa Ushonaji wa Mavazi ya aina mbalimbali Jijini Mwanza wakiendelea na shughuli za ushonaji.

George Binagi-Binagi Pazzo (Kushoto) akizungumza na Idda Adam (Kulia) ambae ni Mkurugenzi wa Mikalea Professional Tailors ambao ni Mabingwa wa Ushonaji wa Mavazi ya aina mbalimbali Jijini Mwanza.

No comments

Powered by Blogger.