MICHUANO YA MBATIA CUP 2015, YAMALIZA HATUA YA KWANZA YA KUPATA MABINGWA WA KATA
![]() |
| Kikosi kamili cha timu ya Wazalendo kabla ya mchezo wa fainali. |
![]() |
| Kikosi kamili cha Himo fc kabla ya kuanza kwa mchezo wa fainali . |
![]() |
| Waamuzi wa mchezo huo,Kabwe Korona,Beda Lyimo na Nassib wakizungumza na manahodha wa timu hizo. |
![]() |
| Benchi la ufundi la timu ya Wazalendo likongozwa na raia wa Kigeni. |
![]() |
| Heka heka ndani ya uwanja . |
![]() |
| Baadhi ya Mashabiki waliofika kushuhudia mchezo huo wa fainali. |
![]() |
| Mmoja wa Shabiki wa timu ya Himo fc ,Mzee Rashid aliyekuwa kiutio katika mchezo huo hasa kutokana na midadi aliyokuwa nayo wakati mchezo ukiendelea. |
![]() |
| Mchezo huu ulikuwani burudani kwa wakazi wa mji wa Himo wa jinsia zote. |
![]() |
| Huyu hakuweza kufahamika mara moja kama alikuwa ni Shabiki wa moja ya timu zilizokuwa zikicheza. |
![]() |
| Licha ya mchezo kuendelea bado uwanjani kulionekana kuwepo kwa kuku wakiendelea kutafuta chakula. |
![]() |
| Hata hivyo mchezo huo uliingia Dosari baada ya kutokea kwa vurugu zilizopelekea mchezo kuvunjwa. |



















Post a Comment