Naibu Waziri wa Ardhi ANGELINA MABULA akagua Mpaka wa TANZANIA na ZAMBIA
Naibu Waziri waArdhi,
Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angelina Mabula akiifuatilia alama moja wapo ya jiwe la
mipaka ya kimataifa kati ya Tanzania na Zambia wakati alipotembelea eneo la Tunduma.
|
Naibu Waziri waArdhi,
Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angelina Mabula akizungumza na wakazi wa eneo la
mpakani la Tunduma mara baada ya kusikiliza kero zao kuhusu huduma za sekta ya ardhi.
|
Post a Comment