Header Ads

Balozi wa Canada aagana na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu

Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akutana na Balozi wa Canada nchini Tanzania Alexander Leveque ambaye muda wake unaisha hivi karibuni.
Balozi Leveque akiongea na Waziri Ummy Mwalimu ofisini kwake wizara ya Afya.Balozi Leveque amesema nchi ya Canada itaendelea kuisaidia Tanzania kupitia mfuko wa pamoja "Basket Fund" katika kuimarisha huduma za afya nchini Hussain afya ya Uzazi wa Mpango.
Waziri Ummy Mwalimu akimsikiliza Balozi Leveque.

No comments

Powered by Blogger.