Dkt BILAL afungua Mkutano wa Waganga wakuu wa Mikoa na Halmashauri Nchini
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Stephen Kebwe, akizungumza kabla ya kumkaribisha Mgeni rasmi Makamu wa Rais kufungua Mkutano huo.
Picha zote na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati
akifungua rasmi Mkutano wa mwaka wa Waganga Wakuu wa Mikoa, Halmashauri
na Wakurugenzi wa Hospitali za Rufaa, ulioanza leo Sept 8, 2015 na
Maadhimisho ya Miaka 40 ya Mpango wa Taifa wa Chanjo uliofanyika kwenye
Hoteli ya Blue Peal Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Tuzo Prof.
Philemon Sarungi, akiwa ni mmoja kati ya Viongozi waliowahi kuiongoza
Wizara ya Afya. Sarungi alikabidhiwa tuzo hiyo , wakati wa hafla ya
ufunguzi wa Mkutano wa mwaka wa Waganga Wakuu wa Mikoa, Halmashauri na
Wakurugenzi wa Hospitali za Rufaa, ulioanza leo Sept 8, 2015 na
Maadhimisho ya Miaka 40 ya Mpango wa Taifa wa Chanjo uliofanyika kwenye
Hoteli ya Blue Peal Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam. Katikati ni
Naibu Waziri wa Afya, Stephen Kebwe (kushoto) ni Katibu Mkuu, Wizara ya
Afya, Dkt. Donan Mmbando.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Tuzo Mhe.
Anna Abdallah, akiwa ni mmoja kati ya Viongozi waliowahi kuiongoza
Wizara ya Afya. Anna alikabidhiwa tuzo hiyo, wakati wa hafla ya ufunguzi
wa Mkutano wa mwaka wa Waganga Wakuu wa Mikoa, Halmashauri na
Wakurugenzi wa Hospitali za Rufaa, ulioanza leo Sept 8, 2015 na
Maadhimisho ya Miaka 40 ya Mpango wa Taifa wa Chanjo uliofanyika kwenye
Hoteli ya Blue Peal Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam. Katikati ni
Naibu Waziri wa Afya, Stephen Kebwe.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Tuzo Naibu
Waziri wa Afya, Stephen Kebwe, kwa mchango mkubwa wa kuiongoza Wizara
hiyo. Kebwe alikabidhiwa tuzo hiyo wakati wa hafla ya ufunguzi wa
Mkutano wa mwaka wa Waganga Wakuu wa Mikoa, Halmashauri na Wakurugenzi
wa Hospitali za Rufaa, ulioanza leo Sept 8, 2015 na Maadhimisho ya Miaka
40 ya Mpango wa Taifa wa Chanjo uliofanyika kwenye Hoteli ya Blue Peal
Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam. Katikati ni Katibu Mkuu, Wizara ya
Afya, Dkt. Donan Mmbando.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Tuzo Dkt.
Deo Mtasiwa, kwa mchango mkubwa wa kuiongoza Wizara hiyo akiwa Mganga
Mkuu wa Serikali. Mtasiwa alikabidhiwa tuzo hiyo wakati wa hafla ya
ufunguzi wa Mkutano wa mwaka wa Waganga Wakuu wa Mikoa, Halmashauri na
Wakurugenzi wa Hospitali za Rufaa, ulioanza leo Sept 8, 2015 na
Maadhimisho ya Miaka 40 ya Mpango wa Taifa wa Chanjo uliofanyika kwenye
Hoteli ya Blue Peal Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam. Katikati ni
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Stephen Kebwe.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Cheti
Prof. Janabi, kutoka Kitengo cha Moyo Muhimbili kwa kutambua mchango
wake akiwa ni miongoni mwa watu walioshiriki Jitihada ya kudhibiti Janga
la Ugonjwa wa Ebola Afrika Mashariki. Janabi alikabidhiwa Cheti hicho
wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa mwaka wa Waganga Wakuu wa
Mikoa, Halmashauri na Wakurugenzi wa Hospitali za Rufaa, ulioanza leo
Sept 8, 2015 na Maadhimisho ya Miaka 40 ya Mpango wa Taifa wa Chanjo
uliofanyika kwenye Hoteli ya Blue Peal Ubungo Plaza jijini Dar es
Salaam. Katikati ni Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Stephen Kebwe.
Msanii Mrisho Mpoto, na wasanii wa
kundi lake la Mjomba Band, wakiigiza kutoa ujumbe kuhusiana na Siku ya
Maadhimisho ya Miaka 40 ya Mpango wa Taifa wa Chanjo, wakati wa hafla ya
ufunguzi wa Mkutano wa mwaka wa Waganga Wakuu wa Mikoa, Halmashauri na
Wakurugenzi wa Hospitali za Rufaa, ulioanza leo Sept 8, 2015 kwenye
Hoteli ya Blue Peal Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya washiriki wa mkutano huo
kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania, wakimsikiliza Makamu wa Rais
wakati akihutubia kufungua rasmi Mkutano huo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungao wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya
pamoja na baadhi ya Viongozi na washiriki wa mkutano huo mara baada ya
kuufungua.
Post a Comment