Header Ads

Hivi ndivyo Maalim SEIF SHARIF HAMAD, alivyozindua Kampeni zake, Mjini UNGUJA

Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais wa Ukawa wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, uliofanyika kwenye Uwanja wa Demokrasia Kibanda Maiti.
Uzinduzi huo umehudhuliwa na Pia na Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, Mgombea Mwenza, Juma Haji Duni pamoja na viongozi mbali mbali wa vyama vinavyounda Ukawa. Picha na Othman Michuzi.

No comments

Powered by Blogger.