Header Ads

Mgombea Ubunge Jimbo la Ileje, JANET MBENE aendelea na Harakati za Kulitwaa Jimbo hilo

Janet Mbene mgombea Ubunge jimbo la Ileje akisalimia na wakazi wa isongole wakati akiwa njiani kuelekea kata za Bundari wakati wa kampeni za kuwania ubunge wa jimbo hilo.
Aliyekuwa mgombea ubunge katika kura za maoni za Chama cha Mapinduzi Marcelin Ndimbwa  akimnadi mgombea ubunge wa ubunge wa CCM Janet Mbene.
Janet Mbene akicheza kwaya na wakazi wa Kata ya Kapelekesi wakati wa mikutano yake ya kampeni katika kata ya ileje.

No comments

Powered by Blogger.