Header Ads

TBL yadhamini Mafunzo kwa Wafanyabiashara Nchini

 Ofisa Uhusiano wa TBL Doris Malulu, akizungumza na wadau wafanyabiashara wa vinywaji vyao katika semina ya biashara Dar es Salaam jana,ambao wanafadhiliwa na TBL.(kulia) ni Mkufunzi Msimamizi Taasisi ya washauri wa Biashara (TAPBDS CO LTD) Joseph Migunda.

 Sehemu ya Wafanya biashara wakisikiliza kwa makini wakati semina hiyo ya jinsi ya kuendesha biashara.ya vinywaji vyao.

  Mkufunzi Msimamizi Taasisi ya washauri wa Biashara (TAPBDS CO LTD) Joseph Migunda akiendesha mafunzo hayo.

 Ofisa Uhusiano wa TBL Doris Malulu, akizungumza na wadau wa biashara (pichani hawapo) ambao wanafadhiliwa na TBL wakati wa semina ya kuboresha biashara.vinywaji vyao.

 Mshauri wa Biashara, Nyainja Manyama, akizungumza na wafanya Biashara mbalimbali (pichani hawapo) wakati wa semina hiyo iliyo fanyika Dar es Salaam.

 Mshauri wa Biashara, Nyainja Manyama, akizungumza na wafanya Biashara mbalimbali (pichani hawapo) wakati wa semina hiyo iliyo fanyika Dar es Salaam.

 Mshauri wa Biashara, Nyainja Manyama, akizungumza na wafanya Biashara mbalimbali (pichani hawapo) wakati wa semina hiyo iliyo fanyika Dar es Salaam.

Maofisa wa TBLK wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyabiashara hao.

No comments

Powered by Blogger.