MKUTANO WA TANO WA WADAU WA NSSF WAENDELEA LEO AICC, JIJINI ARUSHA
Mwenyekiti
 wa Kikao cha kwanza siku ya leo katika Mkutano wa tano wa Wadau wa 
Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), ambaye pia ni Mjumbe wa 
Bodi ya Shirika hilo, Magret Ikongo akiongoza kikao hicho leo, kwenye 
ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.
Mkurugenzi
 wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), 
Crescentius Magori akimpatia maelekezo, MC wa Mkutano wa tano wa Wadau 
wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Sauda Simba wakati wa 
Mkutano huo unaonedelea leo, kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa 
AICC,jijini Arusha.


Meneja
 Kiongozi wa NSSF Mkoa wa Kilimanjaro, Delfina Masika akitoa maelezo juu
 ya uendeshaji na muenendo wa Mfuko wa NSSF, wakati wa Mkutano wa tano wa Wadau NSSF unaoendelea leo kwa siku ya pili,kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.
Mkurugenzi
 wa Mipango,Uwekezaji na Miradi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii 
(NSSF), Yacoub Kidula akiwasilisha mada iliyohusu mambo ya Uwekezaji, 
kwenye Mkutano wa tano wa Wadau NSSF unaoendelea leo kwa siku ya 
pili,kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.

Sehemu ya Wajumbe wa Bodi ya Shirika la NSSF wakiwa kwenye Mkutano huo.
Baadhi ya Watendaji wa Shirika la NSSF.
Wadau wa Mkutano wa NSSF kutoka nchi za nje wakiwa kwenye Mkutano huo.
Mkurugenzi wa Matekelezo wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii,  (SSRA), Lightness Mauki akitoa hoja kwenye Mkutano
 wa tano wa Wadau NSSF unaoendelea leo kwa siku ya pili,kwenye ukumbi wa
 mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.
Muwakilishi
 kutoka Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii 
(RBA) YA nchini Kenya, Charles Machira akiwasilisha mada yake kwenye 
mkutano wa tano wa wadau wa NSSF, unaofanyika kwenye ukumbi wa mikutano 
wa Kimataifa wa AICC, jijini Arusha leo.
Baadhi ya Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari wakifatilia mkutano huo.
Sehemu Wadau wa Mkutano wa tano wa Wadau wa NSSF, wakifatilia mada mbali mbali.
Wadau 
mbalimbali wakiuliza maswali katika kipindi cha maswali na majibu, 
kwenye mkutano wa tano wa wadau wa NSSF, katika ukumbi wa mikutano wa 
Kimataifa wa AICC leo jijini  Arusha.
Balozi wa Mfuko wa NSSF, Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya, Mwasit Almas akifatilia mkutano huo.
Muonekano wa Ukumbi wa AICC wakati wa Mkutano wa tano wa NSSF.


































Post a Comment