Kamanda wa Kikosi cha Wanamaji ,Rene Luyckx, akizungumza na Naibu Waziri wa Wizara
ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni(kushoto), wakati ujumbe
huo ukiongozwa na Balozi wa Umoja
wa Ulaya, Roeland Van der
GeeR(kulia),ulipotembelea wizara hiyo kujadili ushirikano wa kudhibiti uharamia
unaofanyika baharini.Mazungumzo hayo yamefanyika ofisini kwa Naibu Waziri,jijini Dar es Salaam.
|
Post a Comment