Igombe Charity Marathon yafanyika Mjini TABORA
Mtoa huduma Mwl Mwajuma Mwamba akiwasajili wanariadha mara baada ya kumaliza mbio za Tigo Igombe Marathon zilizofanyika mjni hapa. |
Mkurugrnzi wa Tigo kanda ya Ziwa Ally Maswanya akizungumza na wanariadha wa mbio za baiskeli kabla ya kuzindua shindano hilo. |
Wanaridha wakiwa tayari kusubiria kipyenga cha Tigo Igombe Charity Marathon. |
Vijana wa mkoa wa Tabora wakishindana kukimbia wakati wa mashindano ya Tigo Igombe Charity Marathon yaliyofanyika leo mjini hapa. |
Post a Comment