Header Ads

Kivuko cha MV MAGOGONI kimeanza Kutoa Huduma ya Usafiri Jijini Dar es Salaam

Mkuu  wa Jeshi la Majini (Navy, Meja Jenerali Rogastian Laswai (kulia) akitoa maelezo Kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Eng. Joseph Nyamhanga (Wa kwanza kushoto) kuhusu huduma za usafiri wa majini katika Kivuko cha Mv. Magogoni.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Eng. Joseph Nyamhanga (Wa tatu kulia) akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Kivuko cha Mv. Magogoni mara baada ya ukarabati wake kukamilika, Jijiji Dar es salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Eng. Joseph Nyamhanga (Wa nne kushoto) akiwa pamoja na watendaji wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) wakivuka kuelekea upande wa Kigamboni kwa kutumia usafiri wa Mv. Magogoni.
Muonekano wa Kivuko cha Mv. Magogoni kikiwa majini mara baada ya ukarabati wake kukamilika. 

No comments

Powered by Blogger.