Wabunge waendelea Kula Kiapo Mjini DODOMA
![]() |
|
Mbunge wa Viti Maalum CCM Dkt. Mary Machuche Mwanjelwa akila
kiapo cha uaminifu cha ubunge mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mh. Job Ndugai.
|
![]() |
|
Mbunge wa Jimbo la Kawe Mh. Halima James Mdee akila kiapo
cha uaminifu cha ubunge mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mh. Job Ndugai.
|
![]() |
| Mbunge wa Vunjo Mh.James Francis Mbatia akila kiapo cha uaminifu cha ubunge mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai. |
![]() |
|
Mbunge wa Jimbo la Mwanga Mh.Jumanne Abdallah Maghembe akila
kiapo cha uaminifu cha ubunge mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mh. Job Ndugai.
|
![]() |
|
Mbunge wa Handeni Vijijini Mh. Mboni Mohamed Mhita akila
kiapo cha uaminifu cha ubunge mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mh. Job Ndugai.
|
![]() |
| Mbunge wa Viti Maalum CCM Neema Mgaya akila kiapo cha uaminifu cha ubunge mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai. |






Post a Comment